historia ya tamthiliya ya kiafrika hususan tamthiliya ya Kiswahili kuanzia miaka ya 1960 hadi 2011

Hyiman (1975) anafasili fonetiki kuwa ni taaluma ambayo hususani huchunguza sauti ambazo hutumiwa na binadamu wakati wanapowasiliana kwa kutumia lugha.Massamba na wenzake (2004) wanakubaliana kuwa fonetiki ni tawi ambalo hujishughulisha na uchunguzi na uchambuzi wa taratibu zote zinazohusiana na utoaji,utamkaji, usafirishaji na ufasili wa sauti za lugha za binadamu kwa ujumla.Habwe na Karanje (2004) wanakubaliana kuwa fonetiki ni taaluma ya kisayansi inayochunguza sauti za lugha ya wanadamu. Fonetiki hutimiza jukumu hili kwa kuchunguza jinsi sauti za lugha za wanadamu zinavyotamkwa, kusafirishwa kati ya kiungo cha mnenaji na sikio la msikilizaji na jinsi zinavyofasiriwa katika ubongo wa msikilizaji na kufasiliwa.Besha M. R (2007) anaeleza kuwa fonetiki ni taaluma inayoshughulikia na kuchunguza jinsi sauti jinsi zilivyo, zinavyotolewa na zinavyomfikia msikilizaji. Taaluma ya fonetiki huchunguza sauti zote ambazo zinaweza kutumika katika lugha yoyote ile na kutoa sifa za sauti hizo bila kujali vinatumika kwa lugha gani na kwa njia gani.Kutokana na fasili hizo hapo juu kutoka kwa wataalamu mbalimbali tunaweza kusema kuwa fonetiki ni tawi la isimu linaloshughulikia uchunguzi na uchambuzi wa sauti za lugha za binadamu pamoja na utoaji, utamkaji, usafirishaji na ufasili wa sauti hizo.Kwa upande wa fonolojia wataalamu mbalimbali wameweza kufasili maana ya fonolojia kwa namna mbalimbali kama ifuatavyo;-Masamba na wenzie (2004) wanaeleza kuwa fonolojia ni tawi la isimu ambalo hujishughulisha na uchunguzi, uchambuzi na uainishaji wa sauti pambanuzi ambazo hutumika katika mifumo mbalimbali za kugha za binadamu.TUKI (1990)  fonolojia ni tawi la isimu ambalo hushughulikia uchambuzi wa mfumo wa sauti zinazotumiwa katika lugha fulani.Yule (1985) naye anaeleza kuwa fonolojia kimsingi ni maelezo ya mifumo na ruwaza za sauti za lugha.Fudge (1973:46) anaeleza kuwa fonolojia ni kiwango kimojawapo cha lugha Fulani kilicho na vipashio vidogo zaidi kuliko vipashio vingine vyote vya lugha. Vipashio vya kifonolojia ni fonimu na alofoni zake.Hartman (1972) naye anaeleza kuwa fonolojia ni mtalaa wa sauti zinazotumiwa katika lugha fulani na uamilifu wao ndani ya mfumo wa lugha husika.Kutokana na fasili za wataalamu hao hapo juu ni wazi kuwa fonolojia ni utanzu wa isimu unaochunguza jinsi sauti za lugha zinavyofanya kazi katika lugha mbalimbali. Fonolojia hushughulikia jinsi sauti zinavyotumika, zinavyounganishwa na zinavyopangwa katika lugha yoyote mahususi ili kuunda tungo zenye maana.Pia kuna wataalamu mbalimbali walio jadili maana ya lugha,Trudgil (1974) anaeleza kuwa lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zinazotumiwa kwa mawasiliano miongoni mwa watu wa jamii fulani yenye utamaduni wake.Weber (1985) anaeleza kuwa lugha ni mfumo wa mawasiliano ya binadamu ambao hutumia mpangilio maalumu wa sauti kuunda vipashio vikubwa zaidi, kwa mfano mofimu, maneno na sentensi.Kwa ujumla lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zenye kubeba maana zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani kwa ajili ya mawasiliano.Japokuwa fonolojia na na fonetiki ni miongoni mwa matawi ya isimu lakini matawi haya yana tofautiana. Tofauti zake ni kama zifuatazo;Kwa upande wa fonetiki sauti za kifonetiki zinaponukuliwa huwakilishwa na mabano mraba [   ] wakati kwa upande wa fonolojia sauti za kifonolojia zinaponukuliwa huwakilishwa kwa alama za mshazari au mikwaju /   /.Katika fonetiki kipashio cha msingi cha fonetiki ni foni wakati katika fonolojia kipashio cha msingi ni fonimu.Wakati fonolojia inaachunguza sauti za lugha maalum na inayofahamika kama vile Kiswahili, Kiingereza, Kisafwa na lugha zingine kwa kuchunguza maneno na jinsi maneno hayo yanavyounganishwa na kutoa maana lakini kwa upande wa fonetiki yenyewe hushughulika na lugha zote na si lugha maalum kama ilivyo fonolojia. Fonetiki pia huchunguza uzalishaji wa  sauti za lugha kutoka katika bohari kuu la sauti.  Vilevile kwa upande wa fonetiki yenyewe hutumia nadharia za sayansi halisi kama vile fizikia, uhandisi, biolojia na hufaidi matokeo ya kiutafiti ya taaluma hizi. Kwa mfano ili kuelewa jinsi ala za sauti zinavyofanya kazi mwanafonetiki atafaidika na maelezo ya kibaiolojia kwani huhusu jinsi mwili wa mwanadamu unavyofanya kazi wakati kwa upande wa fonolojia yenyewe haitumii nadharia za sayansi kama ilivyo fonetiki bali huongozwa na taratibu na misingi ya nadharia ya Isimu.Fonetiki huchunguza sauti bila kuzingatia mfumo ambamo sauti hizo hutumika lakini kwa upande wa fonolojia yenyewe huchunguza sauti zilizo katika mfumo mmoja yaani lugha mahususi.  Hivyo basi fonetiki ni moja lakini fonolojia zipo nyingi kama lugha zenyewe zilivyo nyingi, kwa mfano hakuna fonetiki ya Kiswahili wala ya kiingereza bali kuna fonolojia ya Kiswahili na kiingereza. Kwa mfano sauti “x” ipo katika lugha ya kiingereza lakini katika lugha ya Kiswahili sauti hiyo haipo.Pia seti kuu ambayo ni fonetiki haina kikomo lakini fonolojia zote zina kikomo kwani inaaminika kuwa lugha nyingi duniani hutumia wastani wa sauti kati ya 20 na 40 tu. Kwa mfano Kiswahili kina fonimu 31 tu.Fonetiki huhakiki sauti za lugha bila kuzihusisha katika muktadha wa matumizi katika tungo. Hii ni kinyume na fonolojia ambayo huhakiki sauti za lugha kimatumizi. Kwa mfano kauli kuwa sauti [p] ni konsonanti ya kipasuo ya kanda tuli na ambayo ni ya midomo miwili ni kauli ya kifonetiki, hata hivyo tukisema kuwa sauti [p] hupatikana katika mfumo wa lugha ya Kiswahili na kuwa haiwezi kutokea mwishoni mwa neno la Kiswahili tunatoa kauli ya kifonolojia.Fonolojia huchunguza michakato mbalimbali na kanuni zinazohusiana na utokeaji wa sauti na miunganiko yake katika mifumo mahususi ya lugha kwa mfano mchakato wa udondoshaji neno /mupana/-[mpana] katika mfumo huu mchakato wa udondoshaji unatokea ambapo irabu u imedondoshwa kwa sababu imetanguliwa na konsonati ya mdomo ambayo ni nazali na kufuatiwa na konsonati halisi lakini kwa upande wa fonetiki yenyewe haiusiki na michakato ya utokeaji wa sauti kama mchakato wa udondoshaji wa hapo juu.Wakati fonolojia inahusika na vipengele mbalimbali ambavyo vinahusiana na sauti, mpangilio  wake na uundaji wa maneno katika lugha mbalimbali na mfano wa vipengele hivyo ni kama vile matamshi, kiimbo, mkazo, lafudhi, silabi na wakaa na vilevile hata mfuatano wa mofimu katika kuunda maneno lakini katika fonetiki vingele hivyo havipo.Pamoja na kuwa na utofauti kati ya fonetiki na fonolojia kwa upande mwingine matawi haya ya isimu yana uhusiano mkubwa kama ifuatavyo;-Matawi haya yote mawili yaani fonetiki na fonolojia ni matawi ya isimu ambayo hushughulika  na uchunguzi na uchambuzi wa sauti za lugha katika viwango tofautitofauti wakati fonetiki huchunguza lugha kwa ujumla fonolojia yenyewe huchunguza lugha vilevile lakini ni lugha mahsusi au lugha fulani kwa maneno mengine kwa mfano lugha ya Kiswahili, lugha ya kingereza, kikongo na lugha nyingine zilizopo duniani.Fonetiki inaweza linganishwa na seti kuu ambayo hukusanya sauti nyingi sana duniani na kuziorodhesha na zingine lakini fonolojia ni sehemu tu ya seti kuu ambayo huchunguza sauti chache tu ya baadhi ya zile zilizoorodheshwa na wanafonetiki au kwa namna nyingine tunaweza kusema kuwa fonetiki ni msingi wa fonolojia kwa sababu sauti zinazoshughulikiwa na fonolojia ni baadhi tu ya zilizochotwa kutoka katika bohari kuu la sauti ambalo lipo katika fonetiki.Fonetiki na fonolojia ni matawi mawili ya isimu yaliyo jirani sana na wakati wote matawi haya hutegemeana na hukamilishana kwa mfano katika kufanya uchambuzi wa kifonetiki huusaidia sana fonolojia na katika kufanya uchambuzi wa kifonolojia husaidia sana fonetiki hivyo tunaweza kusema kwa namna nyingine kuwa yote haya matawi mawili fonetiki na fonolojia ni vipashio vya sauti na sauti hiyo ni sauti ya mwanadamu, na pia fonetiki na fonolojia zote ni faafu katika msepetuko wa lugha.Vilevile kwa upande wa lugha mbalimbali zilizopo duniani na zenyewe zina kufanana na kutofautiana kutokana na vipengele mbalimbali vinavyounda lugha hizo. Na kufanana kwake kunatokana na mambo yafuatayo;Lugha zote ni mfumo wa sauti za nasibu tu zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili ziweze kutumika katika mawasiliano miongoni mwa jamii hiyo husika. Hii ina maana kwamba sauti hizo zilitokea tu kwa bahati kwani hakuna kikao maalumu kilichokaa na kupanga kuwa neno hili litakuwa na maana hili au sauti hii itakuwa na maana hii. Kwa mfano neno mama ni la kiswahili, ujubha-kinyakyusa, ng’inesu-kiwanji, mai-kijita, na ayii! Kiiraq. Hayana uhusiano na wa moja kwa moja na kirejelewa mama kama mzazi wa kike katika lugha hizo hapo juu bali ni za nasibu tu.Lugha zote huchukua sauti chache kutoka katika bohari la sauti ambalo limebeba sauti nyingi na kila lugha huchukua sauti chache kulingana na mahitaji ya jamii yenyewe husika. Kwa mfano lugha ya Kiswahili imechukua sauti 31 wakati lugha ya Kiingereza ina sauti 44, kifaransa ina sauti 33. Lugha zote duniani hutolewa na viungo vya binadamu vijulikanavyo kama ala sauti. Ala hizo za sauti ni kama vile kaakaa gumu, kaakaa laini, ulimi, fizi mdomo na meno. Kwa mfano neno linalotamkwa kwa kutumia midomo ni “mama” na ndiyo maana mtu asiye na mdomo wa chini au mdomo wa juu hupata tabu wakati wa kutamka au wakati wa mazungumzo na hasa hupata tabu wakati wa kutamka vitamkwa mahususi vinavyo tamkwa kwa kutumia midomo.Lugha zote zilizopo duniani zinaambatana na utamaduni wa jamii fulani au jamii husika kulingana na matumizi au mahitaji ya jamii hiyo. Kwa mfano maneno kama upwa, mashua, ngalawa, kanzu na msuli yanaendana na utamaaduni wa watu wa pwani.Ufanano mwingine wa lugha mbalimbali zilizopo duniani ni kuwa lugha zote hujitosheleza kimatumizi kulingana na sauti ambazo imezichota kutoka katika bohari kuu la sauti.Ijapokuwa lugha nyingi zilizopo duniani hufanana kwa namna moja ama nyingine vilevile lugha hizo huweza kutofautiana pia na utofauti huo unajitokeza katika nyanja tofautitofauti kama inavyojidhihirisha kwenye maelezo yafuatayo;-Kila lugha asilia inachukua sauti chache tu kutoka katika bohari kuu la sauti hivyo sauti za lugha moja huweza kutofautiana na sauti za lugha nyingine kwa namna moja ama nyingine kwa mfano lugha ya kiswahili haijachukua sauti x, q na c kutoka katika bohari la sauti ilhali katika lugha ya kingereza sauti hizo zimechukuliwa na zinatambulika.Vilevile kila lugha ina kanuni zake ambazo ni kama kioo cha yale yaliyoko katika hazina ya kila lugha na mjua lugha, kwa mfano mjua Kiswahili yeyote anatambua kuwa [doa] na [toa] ni maneno mawili tofauti katika lugha hiyo na kila moja lina maana tofauti na hayawezi kubadirishwa, yaani mzungumzaji hawezi kuyachanganya katika semi za lugha hiyo, ni rahisi pia kueleza tofauti ya maneno hayo yanaletwa na nini ambayo ni kuwepo kwa sauti [d] badala ya [ t] lakini sauti nyingine zote zinafanana, zote ni vipasuo vya ufizi ila [d] ni ghuna na [t] ni si ghuna, tofauti inajitokeza ikiwa tunazungumzia lugha ya kipemba kwani wazungumzaji wa lugha hii wanaweka tofauti za msingi kati ya [t] na [th] ya kwanza ni kipasuo si ghuna cha ufizi  si pumuo na ya pili ni kipasuo si ghuna cha ufizi pumuo. Tofauti hizi ni za msingi kwa sababu maneno yafuatayo yana maana tofauti katika lugha 39 za kipemba [taa] na [thaa]neno la kwanza lina maana ya kifaa cha kutolea mwanga na la pili ni aina ya samaki. Na hii yote ni kutokana na kanuni na utaratibu wa lugha husika.Tofauti nyingine ni kuwa kila lugha ina mpangilio wake tofauti na lugha nyingine katika kuunda maneno au kwa maneno mengine tunaweza kusema sauti za msingi katika lugha fulani zinafumwa kwa njia tofauti katika kila lugha kwa mfano kila lugha zina kanunni maalum za jinsi sauti zinavyoweza kufuatana katika neno. Pia kuna minyumbusho tofauti ya kifonolojia inavyotokea katika matumizi ya sauti hizo kwa mfano katika Kiswahili mfuatano unaokubalika ni konsonanti + irabu (KI) au irabu + konsonanti + irabu (IKI) ni mwiko kwa konsonanti mbili kufuatana isipokuwa ikiwa ya mwanzo ni (m) au (n) na ikitokea  hivyo basi sauti hizo hupewa usilabi kama katika maneno mtu na nta.Utaratibu huu kwa baadhi ya wazungumzaji na katika Kiswahili cha maandishi hukiukwa kutokana na maneno ambayo yana asili ya lugha zisizo za kibantu kama askari, stakabadhi, skrubu, katika Kiswahili kisicho cha rasmi maneno haya hutamkwa asikari, sitakabadhi, sukurubu na hivyo kuhifadhi mfumo wa asili wa Kiswahili.Utofauti mwingine ni kuwa kila lugha ina sifa bainifu ya kwake. Sifa bainifu ya lugha moja siyo lazima iwe ile ile katika lugha nyingine. Kwa mfano kipemba na katika lugha ya Kithai ya Thailand [t] na [th] ni mofimu mbili tofauti kwa sababu sauti hizo zinatofautisha maneno katika lugha hizo kwa mfano [tam] ina maana ya ‘kutwanga’ na [tham] ina maana ya ‘kufanya’. Kwa maana hiyo basi mpumuo si sifa bainifu katika vipasuo vya lugha ya Kiswahili lakini ni sifa bainifu katika lugha za kipemba ya Zanzibar na Kithai ya Thailand. Katika lugha ya kiingereza mpumuo una hadhi tofauti katika maneno yafuatayo. Sauti [t] inatamkwa kwa maneno ya pekee katika kila neno. Kwa mfano [til] inatamkwa [thil], [still] inatamkwa [stil] hivyo katika neno la kwanza sauti ya kwanza ni kipasio si ghuna na ni cha ufizi pumuo na [th] ambapo katika neno la pili sauti ya pili ni kipasuo si ghuna cha ufizi lakini si pumuo. Lakini [t] tukichunguza mazingira, sauti hizi zinamotokea tunagundua kuwa [th] inatokea mwanzoni mwa neno ambapo [t] inafuata sauti.Konsonanti nyingine katika sauti hiyo ni [s] mazingira hayaingiliani lugha hii. Yaani sauti [t] haiwezi kutokea baada ya sauti [s] tofauti kubwa kati ya hadhi ya sauti hizo na zile za kipemba na kithai ni kwamba Kiingereza sauti [t] na [th] hazitumiki kutofautisha maneno katika lugha hiyo bali wazungumzaji wanajua ni wapi watumie moja na wapi watumie nyingine. Ikiwa mzungumzaji anatamka neno [till] kama [til] na neno [still] kama [sthill] wazungumzaji wazawa wa kiingereza watajua kuwa mzungumzaji ni mgeni wa lugha hiyo.Vile vile kuna utofauti wa namna ya uzungumaji wa maneno katika lugha mbalimbali zilizopo duniani. Hii ina maana kwamba kila lugha ina njia yake ya kuzalisha maneno. Kiswahili huzalisha maneno kwa njia ya kukopa maneno kutoka katika lugha yingine kwa mfano lugha ya Kiswahili imekopa maneno kama vile marhaba, shikamoo, shukran, alfajiri, magharibi na alasiri kutoka katika lugha ya Kiarabu. Pia lugha inajizalisha kwa njia ya kutohoa maneno kutoka lugha mbalimbali. Kwa mfano kinyakyusa kimetohoa maneno kama vile sukulu na isipuni kutoka katika lugha ya Kiingereza school na spoon.Vile vile tofauti nyingine ya lugha mbalimbali zilizopo duniani ni ile ya kuwa kila lugha ina mpangilio tofauti wa utokeaji wa sauti zake katika kuunda maneno mbalimbali yenye kubeba maana katika lugha husika. Kwa mfano silabi inaweza ikaanza na konsonanti ikafuata irabu lakini katika lugha nyingine mpangilio huo unakataa. Lugha nyingine zinakubali mpangilio wa konsonanti hata nne kufuatana lakini katika lugha ya Kiswahili na lugha zingine za kibantu ni mara chache. Kwa mfano lugha ya kiingereza neno ‘embryo’ kuna sauti konsonanti nne zilizo fuatana yaani ‘mbry’ na vile vile kuna maneno yanayo weza kuundwa bila kuwepo na irabu. Kwa mfano ‘fly’, ‘sky’ ‘spy’ na ‘kry’.Tofauti nyingine ni kwamba kila lugha ina mfumo wake wa silabi. Hii ina maana kuwa mfumo wa silabi wa lugha moja hutofautiana na lugha nyingine. Kwa mfano mfumo wa silabi wa lugha za kibantu zilizo nyingi za silabi huru $KI$ lakini $  ni mpaka wa irabu lakini kwa baadhi ya lugha silabi zake ni funge mfano $KIK$ na kirefu cha KIK ni konsonanti irabu konsonanti wakati KI ni konsonanti irabu. Na hii ni sawa na kusema kwamba lugha nyingi za kibantu kwa kiasi kikubwa zina mfumo wa silabi huru.Katika lugha mbalimbali zilizopo duniani kila lugha ina mfumo wale wa irabu. Hii ina maana kwamba mfumo wa irabu wa lugha moja huweza kutofautiana na mfumo wa lugha nyingine kwa namna moja ama nyingine. Kwa mfano halisi ni kwamba kuna lugha zenye irabu saba, zingine zina irabu tano, zingine zina irabu tatu. Kutokana na ukweli kwamba kila lugha ina miliki na kutumia mfumo wake wa konsonanti hii inatokana na ukweli kwamba kila lugha ina kikomo chake cha matumizi ya sauti kutoka katika bohari kuu la sauti.Vile vil kila lugha ina utamaduni wake kulingana na mazingira husika hasa katika jamii inayotumia lugha hiyo. Kwa mfano lugha nyingi zinazo zungumzwa pwani huambatana na utamaduni wa ukanda huo. Kwa mfano maneno kama vile mashua, ngalawa, jahazi, upwa, kanzu, tasbihi na msuli huendana hasa na utamaduni wa wana jamii wa pwani ilhali watu wa bara hutofautiana na watu wa pwani kwa namna moja ama nyingine. Pia utamaduni wa wakulima na wafugaji lugha zao huendana na tamaduni zao maneno kama jembe, panga, maksai, matuta, swaga na mengineyo ya tamaduni za watu hawaNa mwisho kabisa kila lugha hujitosheliza kulingana na mahitaji ya jamii husika.Hivyo kwa maelezo toshelevu na dhahiri kama yalivyoelezwa hapo juu tunaweza kusema kwamba katika matawi mawili ya isimu yani fonetiki na fonolojia ni matawi ambayo yanafanya kazi kwa pamoja na kwa kutegemeana lakini ikiwa ni kwa kiasi kikubwa fonolojia hutegemea sana uwepo wa fonetiki ingawa kuna utofauti kwa namna fulani na kwa upande wa lugha zote mbalimbali zilizopo duniani kwa kiasi kikubwa lugha zote huunda mifumo tofauti tofauti na huweza kujitokeza kwa kiasi kikubwa kwa kutegemea uwepo wa jamii husika ya watumiaji wa lugha hiyo. Jamii ina nguvu kubwa na ushawishi kwa kiasi kikubwa katika kuunda msamiati mbalimbali ambayo itatumika na jamii hiyo na kutosheleza mahitaji ya walengwa. 
MAREJEO
Besha M, R. (2007). Utangulizi wa Lugha na Isimu: Macmillan Aidan Ltd: Dar es salaam.
Habwe J na Karanja P (2004). Misingi ya Sarufi ya Kisswahili. Phoenix Publishers Ltd. Nairobi.
Massamba na wenzie (2004). Sarufi ya Maumbo ya Kiswahili Sanifu (SAMAKISA) Sekondari na vyuo: Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili chuo kikuu Dae es salaam.
Massamba D. P. B (1996). Phonological Theory, History and Development: Dar es salaam University Press.
Mgullu R. S (1999). Mtaala wa Isimu, Fonetiki Fonolojia na mofolojia ya Kiswahili: Longhorn publishers Ltd, Dar es salaam.

HUYU NDIYE SAMAKI ANAWEZA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME NDANI YA MUDA WA DAKIKA 10 TU...!!!


Endapo utafanikiwa kumla samaki huyu mwenye gamba gumu anayekwenda kwa jina la Oyster basi utakuwa na asilimia 99 ya kuongeza nguvu za kiume ndani ya dakika 10.

Samaki huyu atakurudishia uwezo wako wa zamani kabla mambo hayajaanza kukuharibikia, tena dawa hii ni salama kwa kuwa ni kama chakula tu.

Mtaalamu wa mapishi kutoka Culinary Chamber kwa moyo mkunjufu ameamua kushare nasi habari hii njema. Huna nguvu za kutosha kufanya tendo la ndoa? Unakosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa? Perfomance imeshuka? "Basi tatizo lako ni 'low T' au low testosterone," na ni tatizo kubwa kwa wanaume wengi.

Testosterone ni hormone inayozalishwa katika vifuko vya mbegu za uzazi wa mwanaume, inasaidia sana sana katika kuhamasisha uwezo na msukumo wa tendo la ndoa. Inasaidia sana pia kumaintain strong bones, muscle mass and strength,
Testosterone inaanza kujitengeneza na kuongezeka katika mwili wa mwaume wakati wa adolescence na unapopevuka, na hupoteza ubora au kushuka kiwango hasa pale unapofikia umri wa miaka 30 kwa kiwango cha asilimia 1 kila mwaka.  Kukosa ubora au kushuka kwa kiwango kunasababishwa na stressau mzongo wa mawazo ya maisha, mlo usio kamili, obesity na sababu nyingine. Inaposhuka ndio balaa inapoanza nawe kukosa hamu au kupungukiwa nguvu za tendo la ndoa mfano uume kutosimama imara na kukosa hamu pengine hata kufanya tendo chini ya kiwango kabisa na kusababisha kutomridhisha mwezi wako.
Oysters wana Protein, magnesium na madini ya zinc  kwa wingi sana kuliko chakula chochote duniani, ambayo zinc hiyo inasaidia sana kuongeza testosterone, kukuimarisha na kukuza misuli katika mwili, ukakamavu wa hisia za kimwili na kuzalisha manii ya kutosha (sperm). Chakula kingine chenye zinc nyingi kinachoweza kukusaidia ni maini ya kuku na mbegu za maboga.

Juu, ni hatua za kumwandaa samaki huyo
 
Unaonahiyo nyama baada ya kumfunua samaki huyo

Mtaalamu anasema ukiona kinyaa wakati wa kumla, basi weka chumvi na limao kisha umle taratibu, lakini pia unaweza kumwagia balsamic vinegar au siki kuongeza ladha.

Dozi: vipande viwili au vitatu vinatosha kabisa kwa dozi moja na inashauriwa kula mara moja kila baada ya wiki moja. Kama kumla akiwa mbichi inakupa tabu basi nunua wale wa kwenye makopo au wa kuchemsha lakini chonde chonde usile wale wa BBQ au wa kukaanga. Baada ya kazi muulize wife atakupa majibu
posted by uswazi blog

Michoro ya ukutani kwenye vyumba vya watoto wadogo chini ya miaka 5


Katika vyumba vya watoto wetu, hua tunaviacha tuu kuta zake zikiwa ziko plain, na baadhi ndio siku hizi wanaweka picha za kubandika katika kuta hizo, Kuta ninazozizungumzia ni zile ambazo hazina madirisha, ama makabati, ni ule ukuta ambao unawekea kitanda, kama ndio headboard etc.......


Hii ni michoro na sio stika ama wallpaper, ukipata mchoraji mzuri na anaejua kazi yake....hii michoro kwake sio shida kabisaaaa.....na anaweza kukuchanganyia rangi na zikatoka vizuri.....katika huo ukuta ukiwa na rangi iliyoko hata bila kupaka tena rangi.

hii ni baadhi ya michoro katika vyumba vya watoto.....

Michoro ya ukutani kwenye vyumba vya watoto wadogo chini ya miaka 5


Katika vyumba vya watoto wetu, hua tunaviacha tuu kuta zake zikiwa ziko plain, na baadhi ndio siku hizi wanaweka picha za kubandika katika kuta hizo, Kuta ninazozizungumzia ni zile ambazo hazina madirisha, ama makabati, ni ule ukuta ambao unawekea kitanda, kama ndio headboard etc.......


Hii ni michoro na sio stika ama wallpaper, ukipata mchoraji mzuri na anaejua kazi yake....hii michoro kwake sio shida kabisaaaa.....na anaweza kukuchanganyia rangi na zikatoka vizuri.....katika huo ukuta ukiwa na rangi iliyoko hata bila kupaka tena rangi.

hii ni baadhi ya michoro katika vyumba vya watoto.....

DIRTY TALK

For a man, nothing is sexier than a woman who is loud in bed and participates in a little dirty talk. Below are five things your man is dying to hear you mouth off about.

Couple in BedHim

Men want to know that you're not visualizing someone else when you're with them or just phoning it in, so although it may seem basic, saying (or screaming out) his name in bed is a good way to ease into dirty talk. Punctuate it with a few "ooohs" and moans and it will be more than enough to get him going.

The Action

If you're being a tad quiet, many men will take the initiative and let you know what they'd like to hear by peppering you with questions, such as "What am I doing to you?" and "How does that feel?"
In this case, simply describing the mise en scène and how you feel will suffice. However, don't feel like obligated to use cuss words if it's not your style. Instead, take a cue from romance novels and utilize under-used verbs like "pulse," "swell," and "throb."

Your Fantasies

Nothing counts when it's said in between the sheets, so if you're feeling confident, why not seize the opportunity and tell him all of your craziest fantasies and dreams? If the thought leaves you tongue-tied, try practicing in front of a mirror – especially the particularly naughty parts – until you are able to say them without feeling embarrassed or laughing.

Stock Dirty Phrases

Sometimes just having sex is intimate enough, and the idea of pouring out all of your deepest desires, especially in a new relationship, is too much. However, you don't want to be mute. For those times, any of the following stock sexy phrases will work:
"Oh, yeah, right there!"
"That feels amazing"
"Don't stop, harder"
"I want you so bad"
"Give it to me!"
"You animal!"

Get Creative

Men can be just as insecure as women; so sometimes a little vocal encouragement is all that's needed to let them know that you are enjoying what they're doing. Sometimes a few soft purrs can be just as effective as a well-rehearsed speech, so don't be afraid to get creative. Whatever you do to cheerlead them along will make your bedroom romp all the more exciting.

JiNSi Ya KuKaBiLiaNa Na UPuNGuFu Wa NGuVu Za KiuMe!!

Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume. Lakini kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume wengi duniani.Sehemu kubwa ya malalamiko ya wanaume katika sakata hili yanagusa zaidi maeneo matatu ambayo ni KUKOSA MSISIMKO, KUSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOSA KABISA NGUVU, huku kufika kileleni mapema kukihusishwa pia kama pacha wa janga hili ambalo linawasumbua zaidi wanaume, ingawa na wanawake wanakabiliwa na sehemu ndogo ya tatizo hili.Hata hivyo uchunguzi wa hivi karibuni uliowahusisha wanaume wanaofika kliniki au kupata tiba za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume umeonesha kuwa, sio wanaume wengi wenye sababu za kibaiolojia zinazowafanya wakose nguvu za kiume, isipokuwa wengi wao huwa na matatizo ya kisaikolojia zaidi ambayo wahusika wanaweza kujiponya nayo bila hata kutumia vidonge wala dawa za miti shamba. Ingawa Matabibu wanataja magonjwa ya moyo, kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya zinaa, unene wa kupita kiasi, umri mkubwa kuwa ndiyo chanzo cha wanaume kupungukiwa na nguvu za kiume, lakini imebainika kuwa idadi kubwa ya wanaume wanaofika hospitalini kutafuta nguvu za kiume hawana magonjwa hayoHuu ni ushahidi kuwa wanaokabiliwa na janga hili wamebeba tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kimawazo zaidi kuliko hali halisi. Ukweli wa mambo ulioibuliwa na wanasaikolojia umebaini kuwa, wale wote wanaolalamikia/lalamikiwa kuwa hawana nguvu iwe ya kufika kileleni mapema, kutokuwa na msisimko na kushindwa kurudia tendo wamekosa maarifa tu ya kufahamu na hawaijui miili yao na kwamba wanaishi kwa kusikia zaidi ya kujitambua.Katika hali ya kawaida kila mwanadamu ameumbwa kwa njinsi yake na inapotokea kushabihiana basi ni bahati, lakini mara nyingi usawa hupatikana kwa mmoja kujifunza au kusaidiwa kufikia kiwango cha mtu anayemuhitaji kuwa nae katika maisha hasa ya kimapenzi. Jambo hili wataalamu wanasema kuwa miili iko tayari kutii mafunzo na kubadilisha tabia zake kulingana na utashi wa mhusika. Tatizo kubwa lililopo kwa wapenzi wengi wanaolalamikia upungufu wa nguvu ni kwamba maisha yao wanayachezea kwenye viwanja vya wenzao wanaokutana nao katika vijiwe na sehemu za kazi. Usikivu wa mazungumzo toka kwa wanaume wengine wenye uwezo wa kwenda mara nne hadi saba katika tendo au wanatumia dakika arobaini kufika kileleni umewafanya wanaume wengi kujihisi tu kuwa wao wanakasoro eti kwa kuwa huishia mara mbili au moja katika kufanya tendo. Dhana ya kujiona ni mwenye kasoro inapojengeka akilini mwa mwanaume, huchipua hofu na hatimaye kumfanya ashindwe kabisa kusisimka anapofikiria au kukutana na mwanamke. Matokeo ya hangaiko la akili hushusha uwezo wa mwili na kumuongoza mtu kwenye kuwaza ugonjwa kisha kukimbilia hospitali au kwa waganga kutafuta tiba ya ugongwa ambao kimsingi hanao.Lakini ukweli uko wazi kwamba kukimbilia kutafuta uwezo wa kufanya mapenzi mara sita au saba hakumfanyi mwanaume awe mlinganifu mwenye kusifiwa na wanawake wengi, kwani si wanawake wote wana uwezo wa kufanya mapezi kwa raundi hizo na si wote wanapenda kutumia takika 30 kucheza mpira wa kikubwa, wengine hukinai mapema na huona kero kuwa na wanaume ving’ang’anizi wenye sifa za kuganda wanapopewa.Kwa kufahamu haya utagundua kuwa kukimbilia kutafuta tiba ya kumudu kwenda mara saba ni jitihada mfu kabisa zisizohitajika katika maisha ya mwanaume hasa ukizingatia kwamba wenye uwezo wa kufanya mapenzi mara nyingi hawakuzaliwa hivyo, bali walijizoeza kupitia mazingira ya malezi na makuzi yao. Maana hawezi kuwa mzoefu wa raundi mvulana aliyelelewa katika mafundisho ya kukatazwa ngono na kulindwa hadi akakakua.Kadhalika hawi hodari wa kimapenzi msichana aliyefundishwa kujitunza, yote yatakayofuata kwa mvulana au msichana humea baada ya kupandwa na tabia chipukizi za ukubwani. Kwa msingi huo mwanaume anajukumu la kuutengeneza mwili wake uwe katika staili aitakayo. Ndiyo maana kuna wengine hawamudu kulala bila kufanya ngono, hii ikiwa na maana kuwa wamejizoeza tu, si kwamba wameumbwa na nguvu hizo.Labda ili kufikia kilele cha somo hili ni vema tukalejea matatizo matatu niliyosema hapo juu ili tujue ni jinsi gani tunaweza kuepukana nayo bila hata kumeza vidonge na tukawa wanaume wa mbegu kama wengi wenu mjuavyo. Kwa kuanza tuzungumzie Kukosa msisimko. Hapa tunatakiwa kuajitambua sisi wenyewe kwanza, tukijua historia na mazingira yetu ya kimapenzi.Kwa wanaume ambao wamebanwa sana kikazi na hufanya mapenzi mara moja moja, hukabiliwa na tatizo la kukosa msisimko kwa sababu miili yao imezoea. Sasa ili kuifanya ichangamke lazima waanze kuirejesha kwa kufanya mapenzi mara kwa mara na kwa raundi chache. Kisha wanatakiwa kufanya mazoezi na kula vyakula, vinywaji vyenye nguvu ili kujipa nguvu.Pia kama mwanaume ameishi na mwanawake kwa muda mrefu na amekuwa na desturi ya kufanya mepenzi mara kwa mara katika mazingira yale yale anaweza kukumbwa na kasoro hiyo. Hivyo anashauriwa kubadili mazingira ya kufanyia mapenzi, kupeana mahaba mapya, kuamsha mapenzi kwa kujaliana, pia kuondoa fikra zote zenye kukinaisha ikiwa sambamba na kuzingatia usafi wa mwili. Yakifanyika hayo mwili utaitikia taarifa ya akili na nguvu zitapatikana.Kwa wanaoshindwa kurudia tendo wanatakiwa kufuata kanuni hizo hapo juu. Jambo kubwa ni suala la kuuzoeza mwili. Usiulazimishe kuanza mara moja kwenda mara nyingi wakati mapenzi yako yamekuwa ya kuiba mpaka baba alale na wakati mwingine muda wako wa kutoka kazini umebana na hivyo kukufanya ufanye mapenzi ya chap chap kila siku. Ukiwa mtu wa namna hii haiwezi ikatoke siku moja ghafla tu ukafanya mpenzi mara tatu bila kuchoka. Pia inawezekana mwanaume akashindwa kurudia tendo si kwa sababu hana nguvu bali hapewi ushirikiano wa kutosha toka kwa mpenzi wake. Hivyo wakati wa kutafuta uwezo wa kwenda raundi nyingi ni vema usaidizi wa mwanamke ukatolewa, isitokee kupokea lawama tu za “huwezi, sijatosheka” kwani hizo ndizo zinazowafanya wanaume washindwe kabisa kwa hofu kuwa wanaaibika. Mawazo ya kuaibika yanapopewa kipaumbele huufanya uume kuzidi kusinyaa, kwa maana hiyo ni vema kuyatupilia mbali na kuacha kujihukumu.Pia kuna hitilafu ya wakati wa kuridhishana, inaweza kutokea mwanamke akawa kamaliza raundi yake ya kwanza, wakati anaingia msisimko wa pili mwanaume anafika kileleni, kinachotokea ni mwanamke kumlazimisha mwanaume arudie tendo kwa muda mfupi tangu amalize, jambo ambalo ni vigumu. Sasa ikitokea mwanaume kachezewa na hana msisimko anapata hofu kuwa haweze, ikijengeka hivyo hata iweje jambo halitawezekana tena. Hivyo ni bora kupeana muda wa kupumzika kabla ya hatua ya pili ya mchezo.Pale inapotokea hamasa ya kurudia haipo fikra za mwanaume zisipewe nafasi ya kushindwa kwani nyakati, mchoko, makujukumu, hofu za maisha na mambo kama hayo yanapokuja katika siku ya kustarehe ni wazi kuwa kiwango cha ufanyaji mapenzi kitakuwa chini na hali hii huwatokea wanaume wote, hata walio hodari wa kwenda raundi kumi kwa siku.Sambamba na hilo wanawake wanashauriwa kutoonesha kujali pindi inapotokea hali hiyo, badala yake wawaambie wenzao kuwa siku hiyo inatosha hata kama hawajatosheka, lengo ni kuondoa hofu ambayo ndiyo msingi wa wanaume kuishiwa uwezo wa kufanya mapenzi. Hata hivyo maudhi, kufanya mapenzi na usiyempenda, msongo wa mawazo na kutokuaminiana huchangia kupoteza msisimko wa kuwa ‘kidume’.Ushauri wangu ni kwamba chochote ambacho unataka mwili wako ukifanye lazima uuzoeze. Ukizoea kuamka saa 12 asubuhi mwili utatii kanuni hiyo. Na ukizoea kufanya mapenzi kila siku mara mbili au tatu hali itakuwa hivyo. Mwisho katika sura hii ni vema wanaume na wanawake wakajifahamu kuwa uwezo wa kufanya mapenzi unapungua kufuatana na umri isitokee mtu akakosa raha kisa hawezi kwenda mara nyingi kama zamani wakati anajua kabisa umri wake umekuwa mkubwa. Jamani kutafuta nguvu za ujana zirudie uzeeni ni kujipa taabu ya bure. Ukiona umeingia kwenye utu uzima na mwili wako unaishiwa uwezo, kubaliana na hali. Lakini jambo la kushangaza siku hizi hata vikongwe wanapanga foleni kwa waganga kutafuta tiba ya kufanya mapenzi mara tatu kwa siku! Mapenzi yanataka uwezo wa akili na mwili tusishindane na uwezo asili tutapoteza muda na pesa bure.Tatizo la mwisho ambalo nalo linatajwa kuwasumbua zaidi wanaume ni maumbile madogo ya uume. Wanaume wengi wamekuwa wakilalamika kuwa maumbile yao yanawazuia kuwapa dozi wapenzi wao. Lakini kama nilivyosema huko nyuma kwamba mapenzi hayana kanuni kwamba lazima mtu awe hivi ili amtosheleze mwenzake. Kinacholeta raha katika mapenzi ni hisia, hii ikiwa na maana kwamba mwanaume au mwanamke anaweza kufurahia mapenzi kwa kutomasana na kuhamasishana kwa viungo vingine vya mwili na kujikuta wameridhika hata bila ya kuingiliana.Kwa maana hiyo wale ambao wanamaumbile madogo wanaweza kutafuta wanawake ambao nao wanamaumbile ya aina yao. Baadhi ya watalaam wanasema kwamba kwa kawaida umbile la nyeti za mtu linakwenda sambamba na urefu wa mwili wake. Kwa maana hiyo wanawake wafupi, ingawa si wote wanatajwa kuwa na nyeti zenye ukomo mfupi zaidi ya warefu na wembamba wa umbo. Mbali na chaguo la mtu mwenye kuendena naye umbo, wanaume wenye kasoro hii wanatakiwa kujifunza sana michezo ya kimapenzi ambayo itawasaidia kuwafikisha kileleni wapenzi wao. Ni muhimu kwao kutumia sanaa na mitindo inayopunguza umbali na ukomo wa nyeti za kike.Mwisho ni misingi ya tiba hii: 

MOJA ni kuepuka hofu. Ikitokea siku moja umeshindwa katika tendo haina maana una kasoro, bali ni hali ya kawaida, hivyo usiingize huzuni na hofu utakuza tatizo. Hivyo kwa wale wenye tatizo hili wapunguze wasiwasi na wajiamini kuwa hawana tatizo.

 PILI, nguvu za kiume zinahitaji mwili wenye nguvu, hivyo ni busara kula lishe bora na kufanya mazoezi yasiyokuwa makali sana. 

TATU, kumfundisha mwanamke namna ya kukusisimua.

 NNE, kuepuka mawazo ya kuhuzunisha wakati wa tendo. 

TANO, kupata muda wa kupumzisha mwili. SITA, kuepukana na pupa, tumia muda usiopungua takika 20 kufanya romance.SABA, kujiamini.

Image